Yanga - Local - Transfer

Yanga yatambulisha namba 6

Joel JJ By Joel JJ
β€’
19 Jul 2023
Yanga yatambulisha namba 6

Klabu ya Yanga imemsajili nyota wa Marumo Gallants, Mahlatse Makudubela 'Skudu' kwa mkataba wa mwaka mmoja

Winga huyo anayetumia hasa mguu wa kushoto alikuwa miongoni mwa wachezaji muhimu walioifikisha Marumo hatua ya Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu uliopita ambayo walipoteza dhidi ya Yanga kwa kichjapo cha mabao 4-1 katika mechi mbili baina yao.

Yanga ilimtambulisha mchezaji huyo saa 6 usiku na kumkabidhi jezi namba sita ambayo viongozi wa Yanga waliinadi kwa takribani mwezi mmoja

Winga huyo anaweka rekodi ndani ya Yanga ya kuwa mchezaji wa kwanza raia wa Afrika Kusini kuwatumikia mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu ya NBC na Kombe la Shirikisho la Azam

Usajili huo unaifanya Yanga hadi sasa kufikisha idadi ya wachezaji watano wapya iliowanasa katika dirisha hili kubwa la usajili. Yanga tayari imeshawasainisha mabeki Nickson Kibabage, Gift Fred, kiungo Jonas Mkude, winga wa kulia Maxi Nzengeli na sasa Skudu

More Stories

Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
33m ago
READ MORE β†’
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
10h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
11h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
11h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
14h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
18h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
18h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
19h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
20h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
20h ago
READ MORE β†’