Simba yafunga usajili wa ndani

Joel JJ By Joel JJ β€’ 21st July 2023


Simba yafunga usajili wa ndani

Klabu ya Simba jana ilitambulisha usajili wa wachezaji watatu wa ndani ambao wamefunga usajili kwa wachezaji wa ndani

Mshambuliaji Shabani Iddi Chilunda, kiungo Abdallah Khamis na beki Hussein Kazi walitambulishwa kujiunga na Wekundu hao wa Msimbazi

Chilunda ametua Simba akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba na Azam Fc wakati Khamis amejiunga na Simba akitikeo klabu ya Tusker Fc ya Kenya

Kazi ametua Msimbazi akitokea klabu ya Geita Gold

Bado Simba imebakisha utambulisho wa wachezaji wengine wawili wa kigeni mmoja akiwa ni mlinda lango na pili ni Luis Miquissone


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.