Winga wa Yanga Mahlatse Makudubela 'Skudu' amewaalika mashabiki wa soka nchini kujitokeza kwa wingi uwanja wa Benjamin Mkapa kushuhudia mtanange wa kilele cha wiki ya Mwananchi dhidi ya Kaizer Chiefs ambao utapigwa kesho Jumamosi
..... download Xtra 90 App



