Yanga - Local

Skudu awaalika mashabiki Wiki ya Mwananchi

Joel JJ By Joel JJ
β€’
21 Jul 2023
Skudu awaalika mashabiki Wiki ya Mwananchi

Winga wa Yanga Mahlatse Makudubela 'Skudu' amewaalika mashabiki wa soka nchini kujitokeza kwa wingi uwanja wa Benjamin Mkapa kushuhudia mtanange wa kilele cha wiki ya Mwananchi dhidi ya Kaizer Chiefs ambao utapigwa kesho Jumamosi

Akizungumza katika mkutano na Wanahabari kuelekea mchezo huo, Skudu amesema wamewaandalia mashabiki burudani kubwa wanachopaswa kufanya ni kuhakikisha wanajitokeza kwa wingi kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa

"Tupo kwenye maandalizi ya awali kujiandaa na msimu mpya, kwa niaba ya wachezaji wenzangu kwanza niseme ni heshima kubwa sana kwangu kuwaalilisha kwenye mkutano huu na ujumbe wetu kwenu tunaomba kesho mje kwa wingi tumewaandalia burudani nzuri," alisema

Skudu ndiye mchezaji aliyekabidhiwa jezi namba sita ambayo kwa takribani mwezi mmoja ilinadiwa na viongozi wa Yanga

Amesema kukabidhiwa jezi hiyo ni heshima kubwa kwake, na atahakikisha anailinda thamani yake

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
9h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
9h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
13h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
16h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
17h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
17h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
18h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’