Klabu ya Simba imetangaza kumsajili nyota wao wa zamani Luis Miquissone kutokea klabu ya Al Ahly
Miquissone ametua Simba kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Al Ahly ambako alivunja mkataba wake hivi karibuni
Miquissone alipata mafanikio makubwa na Simba kabla ya timu hiyo kumuuza Al Ahly msimu miwili iliyopita
Usajili uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa Simba