Klabu ya Namungo Fc imemtangaza Cedric Kaze kuwa kocha mkuu wa timu hiyo
Kaze aliitumikia Yanga kwa vipindi viwili tofauti akiwa kocha mkuu na baadae kuwa kocha msaidizi katika kikosi cha Nasreddine Nabi kilichoshinda mataji sita katika misimu miwili iliyopita
Mkataba wake na Yanga ulimalizika mwishoni mwa msimu uliopita




