Simba yashinda mechi ya kirafiki Uturuki

Joel JJ By Joel JJ β€’ 27th July 2023


Simba yashinda mechi ya kirafiki Uturuki

Klabu ya Simba imepata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Turan PFK katika mchezo wa kirafiki uliopigwa huko Uturuki

Kibu Denis ameendeleza moto wake wa kupachika mabao katika pre-season leo akifunga tena

Kibu aliitanguliza Simba kwa bao la kuongoza kabla ya nahodha John Bocco kuweka kimiani bao la pili

Simba itacheza tena Turan PFK jioni katika mchezo mwingine wa kujipima

Kocha Mkuu wa Simba Robertinho Oliveira alianza na kikosi hiki;


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.