Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo, Saidi Yakubu amesema serikali imedhamiria kufanya ukarabati mkubwa katika Uwanja wa Benjamini Mkapa, Dar es Salaam ili kuufanya uwanja huo kuwa wa kisasa zaidi.
..... download Xtra 90 App
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo, Saidi Yakubu amesema serikali imedhamiria kufanya ukarabati mkubwa katika Uwanja wa Benjamini Mkapa, Dar es Salaam ili kuufanya uwanja huo kuwa wa kisasa zaidi.
..... download Xtra 90 App