AS Vita hoi mbele ya Namungo Fc

Joel JJ By Joel JJ β€’ 29th July 2023


AS Vita hoi mbele ya Namungo Fc

Klabu ya AS Vita kutoka DR Congo imeweka kambi Tanzania kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa mashindano 2023/24

Jana AS Vita walicheza mechi ya kujipima nguvu dhidi ya Namungo Fc na kukubali kipigo cha bao 1-0

Bao pekee la Namungo Fc lilifungwa na Frank Domayo 'Chumvi', mchezo ukipigwa kwenye uwanja wa Black Rhino Academy, Karatu


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.