Liverpool wako kwenye mazungumzo na Paris St-Germain kuhusu kumnunua kwa mkopo mshambuliaji wa Ufaransa Kylian Mbappe baada ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 kukataa uhamisho wa rekodi ya dunia wa £259m kwenda klabu ya Saudi Arabia Al-Hilal.(Sunday Mirror)
..... download Xtra 90 App



