Simba - Local

Simba yafunga pre-season kwa ushindi Uturuki

Joel JJ By Joel JJ
β€’
30 Jul 2023
Simba yafunga pre-season kwa ushindi Uturuki

Simba Sc imeunguruma huko Uturuki ikiibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Batman AS katika mchezo wa Kimataifa wa kirafiki

Huo ulikuwa mchezo wa kuhitimisha pre-season ya takribani wiki tatu ambayo Simba waliweka huko Uturuki

Mabao ya Simba yalifungwa na Willy Onana, Saido Ntibazonkiza, Mohammed Hussein 'Zimbwe Jr' na John Bocco

Bocco na Kibu Denis wamekuwa na pre-season nzuri kila mmoja akipachika mabao mawili

Kibu alitoa pasi ya bao lililofungwa na Bocco wakati Ntibazonkiza, Fabrice Ngoma na Shomari Kapombe pia wakitia pasi za mabao mengine

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
3h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
3h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
4h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
7h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
11h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
11h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
12h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
12h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
13h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
14h ago
READ MORE β†’