Simba - Local

Simba kupiga mnada kibegi cha jezi

Joel JJ By Joel JJ
β€’
31 Jul 2023
Simba kupiga mnada kibegi cha jezi

Baada ya kibegi cha Simba kupanda juu ya mlima Kilimanjaro ambako uzinduzi wa jezi ya Simba 2023/24 ulishuhudiwa, kibegi hicho sasa kinakwenda kupigwa mnada ambapo fedha zitakazopatikana zitakwenda kusaidia wodi za Mama na Mtoto kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na Hospitali ya Zanzibar

Simba imetangaza kuwa Mnada huo utafanyika leo saa 2 usiku na utakuwa mbashara kupitia Azam TV

"Leo Jumatatu saa 2:00 usiku kupitia Azam TV tutafanya mnada maalum wa Kibegi pamoja na Jezi zilizopelekwa kileleni mwa Mlima Kilimanjaro kwa ajili ya uzinduzi wa jezi za msimu 2023/24. Pesa zitakazopatikana kwenye mnada huo zitatumika kuchangia ujenzi wa wodi za Mama na Mtoto kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na Hospitali ya Zanzibar," ilisema taarifa ya Simba

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
9h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
9h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
13h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
16h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
17h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
17h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
18h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’