Kikosi cha Simba kimeondoka Uturuki leo kurejea Tanzania baada ya kumaliza pre-season ya wiki tatu
Simba imeondoka Mji wa Ankara walikokuwa wakifanya pre-season kuelekea Istanbul ambako wataunganisha ndege ya Muscat, Oman kisha kuunganisha ndege nyingine mpaka jijini Dar es salaam









