Azam - Local

Azam Fc kujipima na Bandari Fc

Joel JJ By Joel JJ
β€’
1 Aug 2023
Azam Fc kujipima na Bandari Fc

Baada ya kurejea kutoka Tunisia walikoweka kambi ya wiki tatu kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya 2023/24, siku ya Jumamosi klabu ya Azam FC inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Bandari Fc kutoka nchini Kenya

Mchezo huo unatarajiwa kupigwa katika uwanja wa Azam Complex, Chamazi saa 1 usiku

Utakuwa mchezo wa mwisho kwa Azam Fc kujipima kabla ya kuelekea mkoani Tanga kushiriki Ngao ya Jamii

August 09 Azam Fc itachuana na Yanga katika mchezo wa nusu fainali Ngao ya Jamii ambao utapigwa uwanja wa Mkwakwani

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
1h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
1h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
2h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
5h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
9h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
9h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
10h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
11h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
12h ago
READ MORE β†’