Singida Fountain Gate leo ipo kwenye tamasha lake la ‘Singida Big Day’ linaloendelea kwenye uwanja wa Liti, lakini kinachosubiriwa kwa hamu ni utambulisho wa nyota wake wapya akiwemo kiungo Mshambuliaji raia wa Togo, Marouf Tchakei (27) kutokea AS Vita
..... download Xtra 90 App



