Singida - Local

Singida Big Day inafanyika leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
2 Aug 2023
Singida Big Day inafanyika leo

Singida Fountain Gate leo ipo kwenye tamasha lake la ‘Singida Big Day’ linaloendelea kwenye uwanja wa Liti, lakini kinachosubiriwa kwa hamu ni utambulisho wa nyota wake wapya akiwemo kiungo Mshambuliaji raia wa Togo, Marouf Tchakei (27) kutokea AS Vita

Singida imemnasa Tchakei kutoka Vita ikimpa mkataba wa miaka miwili na atatambulishwa leo sambamba na nyota wengine wapya wakiwemo, Joash Onyango, Gadiel Michael, Beno Kakolanya na Habib Kyombo kutoka Simba

Wengine wanaotarajiwa kutambulishwa leo ni Yahya Mbegu na Nicholas Wadada kutokea Ihefu, Dickson Ambundo aliyekuwa Yanga na Kelvin Kijiri kutokea KMC

Pia Walima Arizeti hao wa kanda ya Kati, watawatambulisha Mkenya Duke Abuya na Mnigeria Morice Chukwu sambamba na mastaa wengine

Pamoja na utambulisho huo, tamasha hilo linaloashiria kuwa tayari kwa kuanza msimu mpya ikiwa ni msimu wa pili kufanyika litahitimishwa na mechi ya kirafiki ya kimataifa kati ya wenyeji Singida Big Stars na AS Vita kutoka DR Congo.

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
3h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
3h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
4h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
5h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
5h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
6h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
7h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
20h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
20h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
21h ago
READ MORE β†’