Yanga - Local

Yanga yacheza mechi mbili Avic Town

Joel JJ By Joel JJ
β€’
4 Aug 2023
Yanga yacheza mechi mbili Avic Town

Kikosi cha Yanga leo kimecheza mechi mbili za kirafiki katika uwanja wake wa mazoezi Avic Town

Asubuhi Yanga iliumana na Friends Rangers na kuibuka na ushindi wa mabao 6-1

Yanga imehitimisha mchezo wa pili jioni hii kwa kuumana na JKU ya Zanzibar mchezo uliomalizika kwa matokeo ya suluhu ya bila kufungana

Kocha Mkuu wa Yanga Miguel Gamondi aliomba mechi hizo kuwapima wachezaji wake wote

Yanga imehitimisha pre-season na sasa inasubiri kuelekea mkoani Tanga kuikabili Azam Fc katika mchezo wa Ngao ya Jamii

More Stories

Mizzima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizzima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
2h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
6h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
6h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
7h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
8h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
8h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
9h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
9h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
22h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
23h ago
READ MORE β†’