Klabu ya Singida FG imekuwa ya kwanza kuwasili mkoani Tanga kwa ajili ya michuano ya Ngao ya Jamii
Singida FG waliwasili Tanga mapema leo wakiwa na siku chache za kukamilisha maandalizi yao kabla ya kuikabili Simba katika mchezo wa pili wa nusu fainali ambao utapigwa Alhamisi, August 10 2023






