Klabu ya Saudi Arabia Al-Ittihad inapania kuwasilisha dau la euro milioni 60 kwa Liverpool ili kumpata Mohamed Salah na wako tayari kumlipa mshambuliaji huyo wa Misri mwenye umri wa miaka 31 euro milioni 180 kwa mkataba wa miaka miwili. (Al Riyadiah - kwa Kiarabu)
..... download Xtra 90 App



