Kikosi cha Singida Fountain Gate ambacho kipo tayari mkoani Tanga kwa ajili ya kucheza mechi za kusaka mshindi wa Ngao ya Jamii 2023/24, leo saa 1:00 usiku kitacheza mechi ya kirafiki dhidi ya Coastal Union inayonolewa na kocha Mwinyi Zahera katika Uwanja wa Mkwakwani
..... download Xtra 90 App



