Kikosi cha Azam Fc kimeondoka jijini Dar es salaam kuelekea mkoani Tanga tayari kwa michuano ya Ngao ya Jamii
Yanga itachuana na Azam Fc siku ya Jumatano katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali ambao utapigwa uwanja wa Mkwakwani
Yanga ambao ni mabingwa watetezi nao wataondoka jijini Dar es salaam baadae leo kuelekea Tanga





