Yanga - Local

Yanga jijini Tanga kutetea Ngao ya Jamii

Joel JJ By Joel JJ
β€’
8 Aug 2023
Yanga jijini Tanga kutetea Ngao ya Jamii

Mabingwa watetezi wa Ngao ya Jamii, Yanga tayari wako jijini Tanga kwa ajili ya nusu fainali ya michuano hiyo dhidi ya Azam Fc

Mchezo huo utapigwa kesho Jumatano, August 09 katika uwanja wa Mkwakwani

Yanga iliwasili Tanga jana ikiwa na wachezaji wake wote wakiwa na mkakati wa kutetea Ngao hiyo ambayo wameishikilia kwa misimu miwili mfululizo

Wapinzani wao Azam Fc walikuwa walitangulia kutua mkoani Tanga mapema jana na timu hizo leo zitakamilisha maandalizi yao ya mwisho

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
10h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
10h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
10h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
14h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
17h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
18h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
18h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
19h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
20h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
21h ago
READ MORE β†’