Yanga yawasilisha vibali TFF

Joel JJ By Joel JJ β€’ 9th August 2023


Yanga yawasilisha vibali TFF

Klabu ya Yanga imewasilisha vibali vya wachezaji wake wote 12 wa Kigeni kwa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na hivyo wachezaji hao wanaruhusiwa kucheza mechi za Ngao ya Jamii

TFF imethibitisha kupokea vibali vya wachezaji 12 wa kigeni wa Yanga


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.