Simba - Singida - Local

Simba yaifuata Yanga fainali Ngao ya Jamii

Joel JJ By Joel JJ
β€’
10 Aug 2023
Simba yaifuata Yanga fainali Ngao ya Jamii

Simba imetinga fainali ya Ngao ya Jamii baada ya ushindi wa mikwaju ya penati 4-2 dhidi ya Singida FG katika mchezo wa nusu fainali uliopigwa uwanja wa Mkwakwani

Dakika 90 za mchezo huo zilimalizika kwa matokeo ya suluhu ya bila kufungana hivyo mshindi kuamuliwa kwa mikwaju ya penati

Luis Miquissone, Saido Ntibazonkiza, Mzamiru Yassin na Moses Phiri walifunga penati za Simba wakati Tchakei na Abuya walifunga kwa upande wa Singida FG huku Aziz Andambwile na Yusufu Kagoma wakikosa kwa upande wa Singida FG

Ni rasmi sasa Simba itachauana na Yanga kwenye mchezo wa fainali siku ya Jumapili wakati Azam Fc watachuana na Singida FG katika mchezo wa kusaka mshindi wa tatu

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
8h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
8h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
9h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
12h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
16h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
16h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
17h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
18h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
18h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
19h ago
READ MORE β†’