Manchester City - Burnley - International

Ligi Kuu ya Uingereza yarejea leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
11 Aug 2023
Ligi Kuu ya Uingereza yarejea leo

Mikiki mikiki ya Ligi Kuu ya Uingereza imerejea ambapo mchezo mmoja unapigwa leo

Mabingwa watetezi Manchester City watakuwa ugenini kuikabili Burnley

Ni mchezo ambao utapigwa majira ya saa nne usiku kunako uwanja wa Turf Moor

Burnley kwa mara ya kwanza inaweza kuwatumia wachezaji waliosajiliwa majira ya kiangazi kama vile James Trafford, Zeki Amdouni, Sander Berge na Dara O'Shea

Michael Obafemi, ambaye amejiunga baada ya kucheza kwa mkopo Turf Moor msimu uliopita, hatakuwepo kutokana na tatizo la misuli ya paja

Mkufunzi wa Manchester City Pep Guardiola anasema beki wa kati wa Croatia Josko Gvardiol yuko tayari kucheza mechi yake ya kwanza baada ya kujiunga nao akitokea RB Leipzig kwa uhamisho wa £77m

Beki mwenzake Nathan Ake yuko fiti licha ya kukosa Ngao ya Jamii dhidi ya Arsenal kutokana na jeraha dogo. Kiungo Mateo Kovacic anaweza kucheza mechi yake ya kwanza ya ligi akiwa na City baada ya kuhama kutoka Chelsea mwezi Juni kwa kitita cha pauni milioni 25

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
7h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
7h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
11h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
15h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
16h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
17h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
18h ago
READ MORE β†’