Yanga - Local

Yanga kuanza ligi ya mabingwa Azam Complex

Joel JJ By Joel JJ
15 Aug 2023
Yanga kuanza ligi ya mabingwa Azam Complex

Mchezo wa kwanza wa hatua ya awali michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika kati ya Asas Fc ya Djibout dhidi ya Yanga utapigwa Jumapili August 20 katika uwanja wa Azam Complex, Chamazi

Akizungumza katika Mkutano na Wanahabari mapema leo, Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Yanga Ali Kamwe amesema wamepokea maelekezo kutoka Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) kuwa mechi zote za hatua ya awali dhidi ya Asas Fc zitapigwa uwanja wa Azam Complex

Mchezo wa kwanza utapigwa Jumapili ijayo na mchezo wa pili utapigwa Jumapili ya wiki itakayofuata, August 28 katika uwanja wa Azam Complex

Kamwe ametangaza viingilio vya mchezo huo kuwa VIP A 30,000/-, VIP B 20,000/- na Mzunguuko 5,000/-

Kamwe amewataka mashabiki wa Yanga kununua tiketi mapema kwa kufahamu idadi ya mashabiki ambao wanaruhusiwa kuingia uwanja wa Azam Complex

More Stories

BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
14m ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
28m ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
1h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
1h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
1h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
1h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
2h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
4h ago
READ MORE →
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
14h ago
READ MORE →
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
14h ago
READ MORE →