Makocha Yanga, Simba, Azam Fc wakosa sifa Ligi Kuu

Joel JJ By Joel JJ β€’ 15th August 2023


Makocha Yanga, Simba, Azam Fc wakosa sifa Ligi Kuu

Kulingana na taarifa iliyotolewa na Bodi ya Ligi, makocha wasaidizi wa klabu za Yanga, Simba, Azam Fc hawana vigezo vya kufundisha ligi kuu ya NBC

Katika orodha hiyo pia yumo Kocha wa Dodoma Jiji Melis Nedo, Mwinyi Zahera Kocha wa Coastal Union, Hans van Pluijm wa Singida FG

Makocha hao watalazimika kwenda kuhuisha elimu zao kupitia program maalum za muda mfupi ambazo huendeshwa na CAF/FIFA


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.