Pazia la Ligi Kuu ya NBC 2023/24 limefunguliwa leo ambapo mchezo wa mapema umeishuhudia geita Gold ikiandikisha ushindi wake wa kwanza msimu huu baada ya kuichapa Ihefu Fc bao 1-0 katika mchezo uliopigwa uwanja wa Ihefu huko Mbarali
..... download Xtra 90 App



