Yanga - Local

Yanga yatahadharisha mashabiki tiketi feki

Joel JJ By Joel JJ
β€’
17 Aug 2023
Yanga yatahadharisha mashabiki tiketi feki

Afisa Habari wa Yanga Ali Kamwe amewataka mashabiki kuhakikisha wananunua tiketi kutoka vituo rasmi na sio mikononi mwa watu

Kamwe ametoa tahadhari hiyo baada ya kuibuka kwa wauzaji wa tiketi feki

Kuelekea mchezo wa hatua ya awali ligi ya mabingwa dhidi ya Asas Fc, Kamwe amesema ni vyema kuepuka kununua tiketi mikononi mwa watu

"Kumeibuka watu wanaouza tiketi feki, hivyo tunawatahadharisha mashabiki kuhakikisha wananua tiketi kutoka vituo halali"

"Jumapili ni siku ya kufungua msimu wetu wa ligi ya mabingwa. Matarajio yetu ni kuona mashabiki wakijitokeza kwa wingi kuishangilia timu yao. Kwa uwezo wa uwanja wa Azam Complex, tunatarajia tutaujaza kabla ya siku ya mchezo yenyewe," alisema Kamwe

Akizungumza maandalizi ya kikosi, Kamwe amesema wachezaji wanaendelea na mazoezi kujiandaa na mchezo huo dhamira yao ikiwa ni kuibuka na ushindi mnono

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
6h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
6h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
10h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
14h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
15h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
16h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
17h ago
READ MORE β†’