Chelsea wana nia ya kumsajili mshambuliaji wa Marekani Folarin Balogun kutoka Arsenal, ambaye thamani yake ni £50m, huku Monaco pia wakimtaka mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22, huku Inter Milan wakijitoa kwenye kinyang’anyiro cha kumsaka. ( Sky Sports)
..... download Xtra 90 App



