Licha ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Asas Fc katika mchezo wa mkondo wa kwanza hatua ya awali ligi ya mabingwa barani Afrika, Kocha Mkuu wa Yanga Miguel Gamondi amesema hakuridhishwa na idadi ya mabao ambayo walifunga katika mchezo huo
..... download Xtra 90 App



