Yanga - Local

Yanga yaifumua ASAS Fc mabao 5-1

Joel JJ By Joel JJ
β€’
26 Aug 2023
Yanga yaifumua ASAS Fc mabao 5-1

Mkono mwingine unapigwa na Wananchi katika uwanja wa Azam Complex, Yanga ikitinga raundi ya kwanza ligi ya mabingwa kibabe kwa ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya Asas Fc ya Djibout

Yanga inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa mabao 7-1 na sasa itacheza na El Merrikh katika mchezo wa raundi ya kwanza

Ilikuwa ni Maxi Day, ama kwa hakika imekuwa siku njema kwa Maxi Nzengeli kwani aliitendea haki

Maxi alifunga mabao mawili katika mchezo huo ambao ilitawala kwa muda wote

Mabao mengine yalifungwa na Hafiz Konkoni, Pacome Zouzou na Clement Mzize

Yanga inafunga mabao matano katika mchezo wa pili mfululizo, ikitoka kuibugiza KMC mabao 5-0 katika mchezo wa ligi kuu

More Stories

Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
34m ago
READ MORE β†’
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
10h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
11h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
11h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
14h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
18h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
19h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
19h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
20h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
20h ago
READ MORE β†’