Yanga - Lubumbashi - Transfer - Local

Beki Yanga atua DR Congo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
28 Aug 2023
Beki Yanga atua DR Congo

Aliyekuwa beki wa Yanga, Abdalla Haji Shaibu 'Ninja' amejiunga na FC Lubumbashi ya DR Congo inayoshiriki Ligi Kuu nchini humo

Shaibu ametua Lubumbashi akiwa mchezaji huru baada ya mkataba wake na Yanga kumalizika. Ninja amesajiliwa kwa mkataba wa miaka miwili

Shaibu ameungana na wachezaji kama George Mpole (Fc Lupopo) na Said Khamis (AS Vita) Watanzania ambao wanashiriki ligi kuu ya DR Congo

Mbali na kuitumikia Yanga kwa vipindi viwili tofauti, Shaibu pia amewahi kuitumikia LA Galaxy inayoshiriki ligi kuu ya Marekani akicheza na nyota kama Zlatan Ibrahimovic

Awamu yake ya pili na Yanga hakuwa na wakati mzuri wa kucheza kutokana na majeraha yaliyokuwa yakimsumbua mara kwa mara

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
7h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
7h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
8h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
11h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
15h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
16h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
17h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
18h ago
READ MORE β†’