Azam - Prison - Local

Azam Fc kujiuliza kwa Tanzania Prisons leo

Joel JJ By Joel JJ
28 Aug 2023
Azam Fc kujiuliza kwa Tanzania Prisons leo

Baada ya kutupwa nje ya michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika hatua ya awali, kikosi cha Azam Fc leo kina mtihani mwingine mbele ya Tanzania Prisons

Ni katika mchezo wa ligi kuu ya NBC mzunguuko wa pili ambao utapigwa uwanja wa Azam Complex, Chamazi

Pengine hii itakuwa mechi muhimu sana kwa Azam Fc kushinda ili kurejesha imani ya mashabiki wao ambao bado hawaamini kile kilichotokea pale uwanja wa Azam Complex katika mchezo wa kombe la Shirikisho dhidi ya Fasil Dar Kenema ya Ethiopia

Hata hivyo wanakutana na Tanzania Prisons inayonolewa na Kocha Fred Felix Minziro aliyejiunga na timu hiyo akitokea Geita Gold

Prisons walipata alama moja muhimu katika mchezo wao wa kwanza dhidi ya Singida FG mchezo ukipigwa uwanja wa LITI mkoani Singida

Ushindi leo unaweza kuirejesha Azam Fc kileleni mwa msimamo wa ligi baada ya ushindi wa mabao 4-0 katika mchezo wao wa kwanza dhidi ya Kitayosce Fc

More Stories

BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
16m ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
30m ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
1h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
1h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
1h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
2h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
2h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
4h ago
READ MORE →
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
14h ago
READ MORE →
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
14h ago
READ MORE →