Jana viongozi wa klabu ya Simba walimtembelea Balozi wa Uturuki nchini, Dkt. Mehmet Gulluoglu kwa ajili ya kutoa shukrani kwa ushirikiano ambao ubalozi huo ulitoa wakati Simba ilipoweka kambi ya maandalizi ya msimu nchini Uturuki
..... download Xtra 90 App



