Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Adel Amrauche ameita wachezaji 25 katika kikosi kitakachoikabili Algeria katika mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Afcon 2023
Septemba 07 Stars itashuka dimbani huko Algeria katika mchezo ambao Tanzania inahitaji angalau alama moja tu ili kufuzu
Kikosi kilichoitwa




