Tanzania - Taifa Stars - Local - KMC

Majogoro akonga mashabiki Chippa United

Joel JJ By Joel JJ
β€’
1 Sep 2023
Majogoro akonga mashabiki Chippa United

Licha ya klabu ya Chippa United kufungwa 3-2 dhidi ya Royal Am katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Afrika Kusini, kiungo Mtanzania Baraka Majogoro amegeuka kuwa lulu na kufikia kuimbwa kwenye mchezo huo baada ya kumalizika

Baada ya kujiunga na Chippa, Majogoro alikaa benchi kwenye mchezo wa kwanza dhidi ya Kaizer Chief uliomalizika kwa suluhu na baada ya hapo alikosekana kwenye mechi mbili mfululizo dhidi ya TS Galaxy 0-0 na Orlando Pirates 1-1.

Majogoro alirejea kikosini kwenye mchezo dhidi ya Mamelod Sundowns akikaa benchi na akishuhudia timu yake ikifungwa 2-0 lakini mechi ya tano dhidi ya Cape Towns Spurs alicheza dakika 90 na timu yake ikishinda 1-0.

Baada ya kiwango alichokionyesha kwenye mechi hiyo, Majogoro aliaminiwa katika mchezo wa Jumatano dhidi ya Royal AM akicheza dakika 90 huku timu yake ikipoteza 3-2.

Majogoro ni mchezaji wa pili Tanzania kucheza timu hiyo baada ya msimu uliopita kucheza Abdi Banda

More Stories

Mizzima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizzima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
3h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
7h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
7h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
8h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
9h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
9h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
10h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
10h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
23h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
1d ago
READ MORE β†’