Ujumbe wa Saudi Arabia uko nchini Uingereza kufanya jaribio la mwisho la kuishawishi Liverpool kumuuza Mohamed Salah kwa pauni milioni 200 kabla ya Alhamisi, huku kukiwa na imani kwamba mshambuliaji huyo wa Misri mwenye umri wa miaka 31 yuko tayari kujiunga na Al-Ittihad. (Mail)
..... download Xtra 90 App



