Simba - Local

Simba yaichapa Cosmopolitan 5-1

Joel JJ By Joel JJ
β€’
5 Sep 2023
Simba yaichapa Cosmopolitan 5-1

Klabu ya Simba leo imecheza mechi ya kirafiki dhidi ya Cosmopolitan FC katika uwanja wake wa Mo Simba Arena uliopo Bunju nje kidogo ya jiji la Dar es saalam

Matokeo ya mchezo huo ni kuwa Simba imeibuka na ushindi wa mabao 5-1. Mabao ya Simba yalifungwa na Moses Phiri, Jean Baleke, Willy Onana, Aubin Kramo na Shaban Idd Chilunda

Huo ni mchezo wa pili wa kirafiki kwa Simba katika kipindi cha siku nne. Siku ya Jumamosi Simba iliichapa Kipanga Fc mabao 3-0 katika mchezo mwingine wa kirafiki yakiwa ni maandalizi kuelekea mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Power Dynamos

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
7h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
7h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
11h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
15h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
15h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
17h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
18h ago
READ MORE β†’