Msafara wa kikosi cha Yanga ukijumuisha mashabiki utaondoka nchini Septemba 14 kuelekea Rwanda kwa ajili ya mchezo wa mkondo wa kwanza kuwania tiketi ya kutinga makundi ya ligi ya mabingwa barani Afrika dhidi ya El Merrikh ambao utapigwa Septemba 16
..... download Xtra 90 App



