Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' tayari kimewasili Algeria kwa ajili ya mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Afcon 2023
Kesho Alhamisi, Stars itamenyana na wenyeji wao Algeria katika mchezo ambao Tanzania inahitaji angalau sare ili kuweza kufuzu kwa michuano hiyo



