Yanga - Simba - Azam - Local

Alama moja muhimu kwa Stars leo

Joel JJ By Joel JJ
7 Sep 2023
Alama moja muhimu kwa Stars leo

Timu ya Taifa Tanzania 'Taifa Stars' saa 4:00 usiku leo itakuwa katika uwanja wa 19 May 1956 (Annaba) kucheza mechi ya mwisho hatua ya makundi kufuzu Afcon 2023 dhidi ya Algeria

Stars inashika nafasi ya pili katika kundi E ikiwa na pointi saba ikifuatiwa na Uganda yenye pointi nne

Katika mchezo huo Stars inahitaji matokeo ya sare au ushindi ili kujihakikishia tiketi ya kucheza Afcon 2023 kwa mara ya tatu katika historia yake

Pia dua za Watanzania ni kuona Uganda haipati ushindi katika mechi yao dhidi ya Niger leo saa 4:00 usiku ugenini, kwani ni matokeo ambayo yataihakikishia Tanzania kwenda Afcon 2023 hata kama itafungwa na Algeria

Stars ilikamilisha maandalizi yake ya mwisho jana, wachezaji wako tayari kwa mchezo huo muhimu siku ya leo

More Stories

Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
11h ago
READ MORE →
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
12h ago
READ MORE →
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
14h ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
14h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
15h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
15h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
16h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
16h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
16h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
18h ago
READ MORE →