Yanga - Simba - Azam - Local

Stars hiyoooo Afcon 2023

Joel JJ By Joel JJ
β€’
8 Sep 2023
Stars hiyoooo Afcon 2023

Tanzania imefanikiwa kufuzu fainali za Afcon 2023 baada ya matokeo ya suluhu ya bila kufungana dhidi ya Algeria

Tanzania ilihitaji alama moja kuweza kujihakikishia tiketi, ikiwa imefikisha alama nane katika nafasi ya pili kundi E

Licha ya ushindi wa mabao 2-0 ambao Uganda wameupata dhidi ya Niger, matokeo hayo hayakuweza kuwatosha kujihakikishia tiketi ya Afcon

Hii ni mara ya tatu Tanzania inafuzu michuano ya Afcon ikifanya hivyo mwaka 1980,2019 na sasa 2023

Hongera wachezaji Stars na benchi la ufundi kwa kuipeleka Stars Ivory Coast

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
10h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
10h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
14h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
17h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
18h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
18h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
19h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’