Yanga - Local

Yanga yajipima na Kiluvya United Avic Town

Joel JJ By Joel JJ
β€’
9 Sep 2023
Yanga yajipima na Kiluvya United Avic Town

Klabu ya Yanga leo Jumamosi ilicheza mechi ya kirafiki dhidi ya Kiluvya United inayoshiriki League One

Wananchi wameibuka na ushindi wa mabao 6-0 katika mchezo huo uliopigwa uwanja wa Avic Town

Washambuliaji Kennedy Musonda na Hafiz Konkoni kila mmoja alifunga mabao mawili huku Farid Mussa na Crispine Ngushi nao wakipachika mabao

Afisa Habari wa Yanga Ali Kamwe aliwapongeza Kiluvya United kuwa na ujasiri wa kuomba mechi ya kirafiki dhidi ya Yanga

Mapema wiki hii Kamwe alitangaza kuikaribisha timu yoyote nchini kucheza mechi ta kirafiki dhidi ya kikosi chao ambacho kinajiandaa na mchezo wa kuwania tiketi ya makundi ligi ya mabingwa dhidi ya Al Mereikh

Mchezo huo utapigwa Jumamosi, Septemba 16 huko Rwanda

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
1h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
1h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
2h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
5h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
9h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
9h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
10h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
11h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
12h ago
READ MORE β†’