Azam Fc yaichapa Arta Solar 2-1

Joel JJ By Joel JJ β€’ 9th September 2023


Azam Fc yaichapa Arta Solar 2-1

Matajiri wa Chamazi, Azam Fc leo walicheza mechi ya kirafiki dhidi ya Arta Solar ya Djibout katika uwanja wa Azam Complex

Azam Fc iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 katika mchezo huo wa Kimataifa wa kirafiki kwa mabao ya Feisal Salum na Prince Dube

Arta Solar iko nchini Tanzania ikijiandaa na mchezo wa mkondo wa kwanza kuwania kutinga hatua ya makundi kombe la Shirikisho dhidi ya Zamalek

Arta Solar inatumia uwanja wa Azam Complex kama uwanja wake wa nyumbani


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.