Matajiri wa Chamazi, Azam Fc leo walicheza mechi ya kirafiki dhidi ya Arta Solar ya Djibout katika uwanja wa Azam Complex
Azam Fc iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 katika mchezo huo wa Kimataifa wa kirafiki kwa mabao ya Feisal Salum na Prince Dube
Arta Solar iko nchini Tanzania ikijiandaa na mchezo wa mkondo wa kwanza kuwania kutinga hatua ya makundi kombe la Shirikisho dhidi ya Zamalek
Arta Solar inatumia uwanja wa Azam Complex kama uwanja wake wa nyumbani



