Simba - Local

Simba kuifuata Power Dynamos Alhamisi

Joel JJ By Joel JJ
β€’
11 Sep 2023
Simba kuifuata Power Dynamos Alhamisi

Msafara wa kikosi cha Simba unatarajiwa kuondoka nchini Alhamisi Septemba 14 kuelekea Zambia kwa ajili ya mchezo wa mkondo wa kwanza kuwania tiketi ya kutinga hatua ya makundi ligi ya mabingwa barani Afrika

Jumamosi, Septemba 16, saa 9 Alasiri (saa 10 Tanzania) Simba itashuka uwanja wa Levy Mwanawasa nchini Zambia kuikabili Power Dynamos

Mratibu wa Simba Abbas Ally, amesema kikosi kinatarajiwa kuondoka Tanzania asubuhi kuekea Zambia ikiwa ni safari ya takribani masaa 5

Aidha msafara wa mashabiki pia utaondoka siku hiyo, Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ally akibainisha kuwa kutakuwa na mabasi makubwa mawili ambayo yatabeba mashabiki kuwapeleka Zambia

Simba inakwenda Zambia kusaka ushindi ili kujiweka katika mazingira mazuri ya kutinga hatua ya makundi

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
7h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
7h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
11h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
15h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
16h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
17h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
18h ago
READ MORE β†’