Yanga - Local

Yanga yapania kucheza makundi Ligi ya Mabingwa

Joel JJ By Joel JJ
β€’
11 Sep 2023
Yanga yapania kucheza makundi Ligi ya Mabingwa

Afisa Habari wa Yanga Ali Kamwe amefichua mikakati ya uongozi wa timu hiyo katika kuhakikisha msimu huu wanafanya vizuri kwenye michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika

Baada ya kukosa kushiriki hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa kwa takribani miaka 24, Yanga imepania kumaliza ukame huo

Wananchi watasafiri nchini Rwanda kuikabili Al Merrikh mchezo wa mkondo wa kwanza ukitarajiwa kupigwa Jumamosi, Septemba 16 uwanja wa Pele, Kigali Rwanda

Baada ya kutumia takribani Tsh Bilioni 1.2 za bonus katika michuano ya Kimataifa msimu uliopita, msimu huu wachezaji wa Yanga wataoga mamilioni zaidi kama watafanikisha malengo ya klabu

"Msimu uliopita Yanga ilitumia zaidi ya shilingi Bilioni 1.2 kwa ajili ya posho za wachezaji katika michuano ya kimataifa na msimu huu pia zitatumika pesa nyingi"

"Malengo ni kuhakikisha kuwa tunafanya vyema katika michuano hii ya kimataifa ili tuweze kufika mbali, malengo yetu ni kufika hatua ya makundi na lazima wachezaji wapewe posho nzuri katika kila hatua ambayo wataweza kuvuka, huo umekuwa ni utamaduni wetu"

"Timu kubwa hutumia pesa nyingi sana kwa kuwa wanao msuli mkubwa wa pesa hivyo na sisi ni wakati wetu wa kuhakikisha kuwa tunatumia mbinu nzuri za kufanya vyema zaidi," alisema Kamwe

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
7h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
7h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
8h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
11h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
15h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
15h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
16h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
17h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
18h ago
READ MORE β†’