Yanga - Local

Gamondi, Maxi washinda tuzo Ligi Kuu August

Joel JJ By Joel JJ
β€’
11 Sep 2023
Gamondi, Maxi washinda tuzo Ligi Kuu August

Kocha Mkuu wa Yanga Miguel Gamondi ameibuka kuwa Kocha bora wa ligi kuu ya NBC kwa mwezi August 2023

Gamondi ameshinda tuzo hiyo ya kwanza msimu huu baada ya kuiongoza Yanga kupata ushindi katika mechi mbili za Ligi Kuu huku ikifunga mabao 10

Wakati Gamondi akishinda tuzo hiyo, kiungo mshambuliaji Maxi Nzengeli ameshinda tuzo ya mchezaji bora

Katika mwezi August, Maxi alifunga mabao mawili na kutoa pasi moja ya bao akihusika katika mabao matatu kati ya mabao 10 yaliyofungwa na Yanga

Tuzo ya Meneja bora imechukuliwa na Godfrey Komba ambaye ni Meneja wa Uwanja wa Manungu ulioko Turiani mkoani Morogoro

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
6h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
6h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
10h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
14h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
15h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
16h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
17h ago
READ MORE β†’