Rais wa Yanga SC, Hersi Said ameishukuru nchi ya Rwanda ambayo iliwapokea na kuwahakikishia usalama Wanayanga waliosafiri kwa mamia kushuhudia mchezo wa mkondo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya wenyeji wao Al Merrikh ya Sudan ambapo Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 2-0
..... download Xtra 90 App



