Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ally ametamba kuwa mchezo wa ligi kuu dhidi ya Coastal Union utakuwa maalum kwa klabu hiyo kusahihisha makosa waliyofanya nchini Zambia na kupelekea wakalazimishwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Power Dynamos katika mchezo wa kuwania tiketi ya kutinga hatua ya makundi ligi ya mabingwa barani Afrika
..... download Xtra 90 App



