Mtibwa - Dodoma - Local

Makaka aruhusiwa kutoka Hospitalini

Joel JJ By Joel JJ
18 Sep 2023
Makaka aruhusiwa kutoka Hospitalini

Daktari wa Mtibwa Sugar, Lawrance Mushi amesema hali ya mlinda lango Mohamed Makaka imeimarika na tayari ameruhusiwa kutoka Hospital ya General mkoani Dodoma alikokuwa amelazwa

Makaka alishindwa kuendelea na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji uliomalizika kwa sare ya bao 1-1 katika dakika ya 25 tu baada ya kuanguka ghafla na nafasi yake kuchukuliwa na Razack Shekimweri.

"Alianguka ghafla bila ya mpira wowote wa kugombania na mchezaji na baada ya kumuangalia ili kumpatia huduma ya kwanza uwanjani nikagundua alipoteza fahamu, hivyo tukamuwahisha hospitali," alisema

Taarifa iliyotolewa na Mtibwa Sugar jana, ilibainisha kuwa Makaka ameruhusiwa kutoka hospitalini baada ya afya yake kuimarika

"Hali ya Mohamed Makaka imeimarika na tayari karuhusiwa kutoka hospitalini, tunawashukuru wote mlioshirikiana nasi katika kipindi cha tatizo hilo hili," ilisema taarifa ya Mtibwa

More Stories

SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
14m ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
1h ago
READ MORE →
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
12h ago
READ MORE →
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
12h ago
READ MORE →
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
12h ago
READ MORE →
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
16h ago
READ MORE →
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
19h ago
READ MORE →
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
20h ago
READ MORE →
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
20h ago
READ MORE →
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
21h ago
READ MORE →